Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi—Yaliyomo

      • Dhabihu ya ushirika (1-17)

        • Msile mafuta wala damu (17)

Mambo ya Walawi 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhabihu ya matoleo ya amani.”

Marejeo

  • +Law 22:21; Hes 6:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 15-16

    “Kila Andiko,” uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 15-16

Mambo ya Walawi 3:3

Marejeo

  • +Law 7:29-31
  • +Kut 29:13; Law 7:23-25; 1Fa 8:64

Mambo ya Walawi 3:4

Marejeo

  • +Law 7:1-4

Mambo ya Walawi 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Law 6:12
  • +Law 4:29, 31

Mambo ya Walawi 3:6

Marejeo

  • +Hes 6:13, 14

Mambo ya Walawi 3:9

Marejeo

  • +Kut 29:22; Law 9:18-20; 2Nya 7:7

Mambo ya Walawi 3:10

Marejeo

  • +Law 4:8, 9; 9:10

Mambo ya Walawi 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate,” yaani, sehemu ya Mungu ya dhabihu ya ushirika.

Marejeo

  • +Law 4:31

Mambo ya Walawi 3:14

Marejeo

  • +Law 4:24, 26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate,” yaani, sehemu ya Mungu ya dhabihu ya ushirika.

  • *

    Au “inayotuliza.”

Marejeo

  • +Law 7:23; 1Sa 2:15-17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:17

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 17:10, 13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, uku. 32

    5/15/2004, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 32; w04 5/15 22

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 3:1Law 22:21; Hes 6:13, 14
Law. 3:3Law 7:29-31
Law. 3:3Kut 29:13; Law 7:23-25; 1Fa 8:64
Law. 3:4Law 7:1-4
Law. 3:5Law 6:12
Law. 3:5Law 4:29, 31
Law. 3:6Hes 6:13, 14
Law. 3:9Kut 29:22; Law 9:18-20; 2Nya 7:7
Law. 3:10Law 4:8, 9; 9:10
Law. 3:11Law 4:31
Law. 3:14Law 4:24, 26
Law. 3:16Law 7:23; 1Sa 2:15-17
Law. 3:17Mwa 9:4; Law 17:10, 13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 3:1-17

Mambo ya Walawi

3 “‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro. 2 Anapaswa kuweka mkono wake juu ya kichwa cha mnyama huyo, naye atachinjwa kwenye mlango wa hema la mkutano; kisha wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu. 3 Atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa dhabihu kwa Yehova+ inayochomwa kwa moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo, 4 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini.+ 5 Wana wa Haruni watateketeza vitu hivyo kwenye madhabahu juu ya dhabihu ya kuteketezwa iliyo kwenye kuni zinazowaka moto ili vifuke moshi;+ ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.+

6 “‘Ikiwa mtu anamtolea Yehova dhabihu ya ushirika kutoka kati ya kundi lake, anapaswa kutoa mnyama dume au jike asiye na kasoro.+ 7 Ikiwa anatoa kondoo dume mchanga, atamtoa mbele za Yehova. 8 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha mnyama huyo, naye atachinjwa mbele ya hema la mkutano. Kisha wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu. 9 Atayatoa mafuta kutoka kwenye dhabihu ya ushirika yawe dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.+ Atakata mkia wote wenye mafuta karibu na uti wa mgongo, ataondoa mafuta yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo, 10 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini.+ 11 Naye kuhani ataviteketeza vitu hivyo kwenye madhabahu kama chakula* ili vifuke moshi. Ni dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.+

12 “‘Ikiwa mtu anatoa mbuzi, atamtoa mbele za Yehova. 13 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha mbuzi huyo, naye atachinjwa mbele ya hema la mkutano, nao wana wa Haruni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu. 14 Atamtolea Yehova mafuta yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo kuwa dhabihu inayochomwa kwa moto,+ 15 pamoja na figo zake mbili na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini. 16 Kuhani ataviteketeza vitu hivyo kwenye madhabahu kama chakula* ili vifuke moshi, ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayopendeza.* Mafuta yote ni ya Yehova.+

17 “‘Ni sheria ya kudumu kwa vizazi vyenu, katika makao yenu yote: Msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki