Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo—Yaliyomo

      • Watu wasali warudishwe

        • ‘Kumbuka yale ambayo yametupata’ (1)

        • ‘Ole wetu; tumetenda dhambi’ (16)

        • ‘Turudishe, Ee Yehova’ (21)

        • “Zifanye siku zetu ziwe mpya” (21)

Maombolezo 5:1

Marejeo

  • +Zb 79:4; Omb 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 5:2

Marejeo

  • +Kum 28:30; Zb 79:1; Yer 6:12; Sef 1:13

Maombolezo 5:3

Marejeo

  • +Kut 22:24; Yer 18:21

Maombolezo 5:4

Marejeo

  • +Kum 28:15, 48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16

Maombolezo 5:5

Marejeo

  • +Kum 28:65

Maombolezo 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mikate ya kutosha ya kula.”

Marejeo

  • +Isa 30:2; Yer 44:12; Eze 17:17, 18
  • +2Nya 28:16; Yer 2:18, 36

Maombolezo 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 11

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 11

Maombolezo 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mikate yetu.”

  • *

    Au “nafsi zetu.”

Marejeo

  • +Eze 4:10

Maombolezo 5:10

Marejeo

  • +2Fa 25:3; Omb 4:8

Maombolezo 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wamewabaka.”

Marejeo

  • +Kum 28:30

Maombolezo 5:12

Marejeo

  • +Yer 39:6
  • +Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16

Maombolezo 5:14

Marejeo

  • +Yos 20:4
  • +Yer 25:10

Maombolezo 5:15

Marejeo

  • +Amo 8:10

Maombolezo 5:17

Marejeo

  • +Omb 1:22
  • +Kum 28:65

Maombolezo 5:18

Marejeo

  • +Yer 26:18

Maombolezo 5:19

Marejeo

  • +Zb 102:12; 145:13; 146:10

Maombolezo 5:20

Marejeo

  • +Zb 79:5; Yer 14:19

Maombolezo 5:21

Marejeo

  • +Kum 4:30; Zb 80:3; 85:4; Yer 31:18
  • +Yer 33:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 132

Maombolezo 5:22

Marejeo

  • +Kum 28:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 5:1Zb 79:4; Omb 2:15
Omb. 5:2Kum 28:30; Zb 79:1; Yer 6:12; Sef 1:13
Omb. 5:3Kut 22:24; Yer 18:21
Omb. 5:4Kum 28:15, 48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16
Omb. 5:5Kum 28:65
Omb. 5:6Isa 30:2; Yer 44:12; Eze 17:17, 18
Omb. 5:62Nya 28:16; Yer 2:18, 36
Omb. 5:9Eze 4:10
Omb. 5:102Fa 25:3; Omb 4:8
Omb. 5:11Kum 28:30
Omb. 5:12Yer 39:6
Omb. 5:12Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16
Omb. 5:14Yos 20:4
Omb. 5:14Yer 25:10
Omb. 5:15Amo 8:10
Omb. 5:17Omb 1:22
Omb. 5:17Kum 28:65
Omb. 5:18Yer 26:18
Omb. 5:19Zb 102:12; 145:13; 146:10
Omb. 5:20Zb 79:5; Yer 14:19
Omb. 5:21Kum 4:30; Zb 80:3; 85:4; Yer 31:18
Omb. 5:21Yer 33:13
Omb. 5:22Kum 28:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 5:1-22

Maombolezo

5 Kumbuka, Ee Yehova, yale ambayo yametupata.

Tazama na uone aibu yetu.+

 2 Wageni wamepewa urithi wetu, wageni wamepewa nyumba zetu.+

 3 Tumekuwa mayatima, hatuna baba; mama zetu ni kama wajane.+

 4 Ni lazima tulipe ili tunywe maji yetu wenyewe,+ na kuni zetu wenyewe tunazinunua.

 5 Wale wanaotufuatia wamekaribia shingo zetu;

Tumechoka, lakini haturuhusiwi kupumzika.+

 6 Tunainyooshea mkono Misri+ na Ashuru,+ ili tupate chakula cha kutosha.*

 7 Mababu zetu waliotenda dhambi hawapo tena, lakini ni lazima tuubebe uovu wao.

 8 Sasa watumishi wanatutawala; hakuna yeyote wa kutunasua kutoka mikononi mwao.

 9 Tunapata chakula chetu* kwa kuhatarisha uhai wetu,*+ kwa sababu ya upanga wa nyikani.

10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya makali ya njaa.+

11 Wamewafedhehesha* wake walio Sayuni, mabikira walio katika majiji ya Yuda.+

12 Wakuu walitundikwa kwa mikono yao,+ na wazee hawakuheshimiwa.+

13 Vijana wa kiume wanabeba jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwaa kwa sababu ya kubeba mizigo ya kuni.

14 Wazee wametoweka kwenye lango la jiji;+ vijana wa kiume hawapigi muziki wao.+

15 Shangwe imetoweka mioyoni mwetu; dansi zetu zimegeuka kuwa maombolezo.+

16 Taji limeanguka kutoka kwenye kichwa chetu. Ole wetu, kwa sababu tumetenda dhambi!

17 Kwa sababu hiyo moyo wetu ni mgonjwa,+

Na kwa sababu ya mambo haya macho yetu yamefifia,+

18 Kwa sababu ya Mlima Sayuni, ambao umeachwa ukiwa;+ sasa mbweha wanatangatanga juu yake.

19 Lakini wewe, Ee Yehova, umeketi kwenye kiti chako cha ufalme milele.

Kiti chako kinadumu kizazi baada ya kizazi.+

20 Kwa nini unatusahau milele na kutuacha kwa muda mrefu sana hivyo?+

21 Turudishe kwako, Ee Yehova, nasi tutakurudia bila kusita.+

Zifanye siku zetu ziwe mpya kama siku za zamani.+

22 Hata hivyo, umetukataa kabisa.

Unaendelea kutukasirikia vikali sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki