Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Salamu (1, 2)

      • Imani ya Wathesalonike yazidi kukua (3-5)

      • Kisasi dhidi ya wasiotii (6-10)

      • Sala kwa ajili ya kutaniko (11, 12)

2 Wathesalonike 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Pia anaitwa Sila.

Marejeo

  • +2Ko 1:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 1:3

Marejeo

  • +1Th 3:12; 4:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    11/15/2005, uku. 32

2 Wathesalonike 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhiki.”

  • *

    Au “mnayovumilia.”

Marejeo

  • +1Th 2:19
  • +1Th 1:6; 2:14; 1Pe 2:21

2 Wathesalonike 1:5

Marejeo

  • +Mdo 14:22; Ro 8:17; 2Ti 2:12

2 Wathesalonike 1:6

Marejeo

  • +Ro 12:19; Ufu 6:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

2 Wathesalonike 1:7

Marejeo

  • +Lu 17:29, 30; 1Pe 1:7
  • +Mk 8:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

2 Wathesalonike 1:8

Marejeo

  • +Ro 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

    5/1/1989, uku. 19

    1/1/1989, uku. 20

2 Wathesalonike 1:9

Marejeo

  • +2Pe 3:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1989, uku. 19

    Kutoa Sababu, uku. 157

2 Wathesalonike 1:11

Marejeo

  • +Ro 8:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 1:12Ko 1:19
2 The. 1:31Th 3:12; 4:9, 10
2 The. 1:41Th 2:19
2 The. 1:41Th 1:6; 2:14; 1Pe 2:21
2 The. 1:5Mdo 14:22; Ro 8:17; 2Ti 2:12
2 The. 1:6Ro 12:19; Ufu 6:9, 10
2 The. 1:7Lu 17:29, 30; 1Pe 1:7
2 The. 1:7Mk 8:38
2 The. 1:8Ro 2:8
2 The. 1:92Pe 3:7
2 The. 1:11Ro 8:30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 1:1-12

Barua ya Pili kwa Wathesalonike

1 Paulo, Silvano,* na Timotheo,+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:

2 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.

3 Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa sababu yenu, akina ndugu. Hilo linafaa kwa kuwa imani yenu inakua sana na upendo wa kila mmoja wenu unaongezeka kati yenu.+ 4 Ndiyo maana tunajivunia ninyi+ kati ya makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu na imani yenu katika mateso yenu yote na taabu* mnayopata.*+ 5 Huu ni uthibitisho wa hukumu ya uadilifu ya Mungu, inayowaongoza kuhesabiwa kuwa mnastahili Ufalme wa Mungu, ambao kwa kweli mnateseka kwa ajili yake.+

6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+ 7 Lakini ninyi mnaopata dhiki mtapata kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo wa Bwana Yesu+ kutoka mbinguni akiwa pamoja na malaika wake wenye nguvu+ 8 katika mwali wa moto, atakapoleta kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema kumhusu Bwana wetu Yesu.+ 9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake, 10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu wake na kustaajabiwa siku hiyo kati ya wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tuliotoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.

11 Kwa hiyo, tunasali sikuzote kwa ajili yenu, kwamba Mungu wetu awahesabu kuwa mnastahili mwito wake+ na kwa nguvu zake kufanya kikamili mambo yote yanayompendeza na kila kazi ya imani. 12 Ili jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu nanyi katika muungano naye, kulingana na fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu na za Bwana Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki