Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Kuhusu chakula kinachotolewa kwa sanamu (1-13)

        • Kwetu kuna Mungu mmoja tu (5, 6)

1 Wakorintho 8:1

Marejeo

  • +Mdo 15:20, 29
  • +Ro 14:14; 1Ko 8:10
  • +1Ko 8:13; 13:4, 5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2018, kur. 12-16

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2017, uku. 27

    Amkeni!,

    11/2008, uku. 8

    11/22/1993, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2001, uku. 9

    11/15/1992, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/08 8; w01 1/1 9

1 Wakorintho 8:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2018, uku. 8

1 Wakorintho 8:4

Marejeo

  • +Kum 32:21; 2Fa 19:17, 18; Yer 16:20
  • +Kum 6:4; 32:39

1 Wakorintho 8:5

Marejeo

  • +Zb 82:1, 6; Yoh 10:34, 35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1992, uku. 3

    12/1/1990, kur. 3-5

1 Wakorintho 8:6

Marejeo

  • +1Ti 2:5
  • +Mal 2:10; Mt 23:9
  • +Mdo 17:28; Ro 11:36
  • +Yoh 1:1, 3; Kol 1:15, 16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Utatu, uku. 14

1 Wakorintho 8:7

Marejeo

  • +Ro 14:14
  • +1Ko 10:27, 28
  • +Ro 14:23

1 Wakorintho 8:8

Marejeo

  • +Ro 14:17
  • +Ebr 13:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 8:9

Marejeo

  • +Ro 14:13, 20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 8:11

Marejeo

  • +Ro 14:15

1 Wakorintho 8:12

Marejeo

  • +1Ko 10:28, 29

1 Wakorintho 8:13

Marejeo

  • +Mt 18:6; Ro 14:15, 21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 8:1Mdo 15:20, 29
1 Kor. 8:1Ro 14:14; 1Ko 8:10
1 Kor. 8:11Ko 8:13; 13:4, 5
1 Kor. 8:4Kum 32:21; 2Fa 19:17, 18; Yer 16:20
1 Kor. 8:4Kum 6:4; 32:39
1 Kor. 8:5Zb 82:1, 6; Yoh 10:34, 35
1 Kor. 8:61Ti 2:5
1 Kor. 8:6Mal 2:10; Mt 23:9
1 Kor. 8:6Mdo 17:28; Ro 11:36
1 Kor. 8:6Yoh 1:1, 3; Kol 1:15, 16
1 Kor. 8:7Ro 14:14
1 Kor. 8:71Ko 10:27, 28
1 Kor. 8:7Ro 14:23
1 Kor. 8:8Ro 14:17
1 Kor. 8:8Ebr 13:9
1 Kor. 8:9Ro 14:13, 20
1 Kor. 8:11Ro 14:15
1 Kor. 8:121Ko 10:28, 29
1 Kor. 8:13Mt 18:6; Ro 14:15, 21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 8:1-13

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

8 Basi kuhusu chakula kilichotolewa kwa sanamu:+ Tunajua sote tuna ujuzi.+ Ujuzi huleta majivuno, lakini upendo hujenga.+ 2 Yeyote akifikiri anajua jambo fulani, bado hajalijua kama anavyopaswa kulijua. 3 Lakini ikiwa yeyote anampenda Mungu, huyo anajulikana naye.

4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+ 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa miungu, iwe ni mbinguni au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi, 6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.

7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu.+ Lakini wengine, kwa sababu zamani waliabudu sanamu, wanakula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+ 8 Lakini chakula hakitafanya tumkaribie zaidi Mungu;+ hatupotezi chochote tusipokula, wala hatuongezi chochote tunapokula.+ 9 Lakini endeleeni kujihadhari kwamba haki yenu ya kuchagua isije ikawa kwa njia fulani kikwazo kwa wale walio dhaifu.+ 10 Kwa maana yeyote akikuona wewe uliye na ujuzi ukila mlo katika hekalu la sanamu, je, dhamiri ya huyo aliye dhaifu haitapata ujasiri kufikia hatua ya kula chakula kilichotolewa kwa sanamu? 11 Basi, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+ 12 Mnapowatendea dhambi ndugu zenu katika njia hii na kuiumiza dhamiri yao dhaifu,+ mnamtendea dhambi Kristo. 13 Kwa sababu hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu, mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza ndugu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki