Ijumaa
“Shangilieni sikuzote katika Bwana. Nitasema tena, Shangilieni!”—Wafilipi 4:4
ASUBUHI
3:20 Video ya Muziki
3:30 Wimbo Na. 111 na Sala
3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Kwa Nini Yehova Ni “Mungu Mwenye Furaha”? (1 Timotheo 1:11)
4:15 MFULULIZO: Ni Mambo Gani Yanayoleta Shangwe?
• Maisha Rahisi (Mhubiri 5:12)
• Dhamiri Safi (Zaburi 19:8)
• Kazi Inayoridhisha (Mhubiri 4:6; 1 Wakorintho 15:58)
• Urafiki wa Kweli (Methali 18:24; 19:4, 6, 7)
5:05 Wimbo Na. 89 na Matangazo
5:15 DRAMA YA USOMAJI WA BIBLIA: “Yehova Aliwafanya Washangilie” (Ezra 1:1–6:22; Hagai 1:2-11; 2:3-9; Zekaria 1:12-16; 2:7-9; 3:1, 2; 4:6, 7)
5:45 Shangilia Katika Matendo ya Wokovu ya Yehova (Zaburi 9:14; 34:19; 67:1, 2; Isaya 12:2)
6:15 Wimbo Na. 148 na Mapumziko
ALASIRI
7:30 Video ya Muziki
7:40 Wimbo Na. 131
7:45 MFULULIZO: Sitawisha Shangwe Katika Familia Yako
• Waume, Iweni na Shangwe kwa Sababu ya Wake Zenu (Methali 5:18, 19; 1 Petro 3:7)
• Wake, Iweni na Shangwe kwa Sababu ya Waume Zenu (Methali 14:1)
• Wazazi, Iweni na Shangwe kwa Sababu ya Watoto Wenu (Methali 23:24, 25)
• Vijana, Iweni na Shangwe kwa Sababu ya Wazazi Wenu (Methali 23:22)
8:50 Wimbo Na. 135 na Matangazo
9:00 MFULULIZO: Uumbaji Unathibitisha Kwamba Yehova Anataka Tuwe na Furaha
• Maua Maridadi (Zaburi 111:2; Mathayo 6:28-30)
• Chakula Kitamu (Mhubiri 3:12, 13; Mathayo 4:4)
• Rangi Maridadi (Zaburi 94:9)
• Mwili Wetu Ulioumbwa kwa Njia ya Pekee (Matendo 17:28; Waefeso 4:16)
• Sauti Zenye Kupendeza (Methali 20:12; Isaya 30:21)
• Wanyama Wenye Kuvutia (Mwanzo 1:26)
10:00 “Wale Wanaositawisha Amani Wana Shangwe”—Kwa Nini? (Methali 12:20; Yakobo 3:13-18; 1 Petro 3:10, 11)
10:20 Urafiki wa Karibu na Yehova Huleta Shangwe Kubwa Zaidi! (Zaburi 25:14; Habakuki 3:17, 18)
10:55 Wimbo Na. 28 na Sala ya Mwisho