KUTOTENDA (Kiroho)
jinsi ya kuwatendea wasiotenda wanaorudi: w08 11/15 16; km 2/07 8
kuwasaidia wale wanaoonyesha dalili za kuacha kuwa watendaji: km 3/02 5
kuwasaidia wasiotenda: w08 11/15 8-16; cf 159-160; km 2/07 8; jd 144-146; km 2/06 5; w04 5/1 21-22; w04 7/1 17-18; w03 2/1 14-18; km 2/03 5; km 3/01 3-4; km 6/96 1
Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko: km 2/01 4; km 3/00 5; km 10/98 1; km 11/98 6
jukumu la wazee Wakristo: w08 11/15 9, 12; km 2/06 5; km 3/02 5
kujifunza na wasiotenda: km 3/09 2; w08 11/15 10-11, 14-15; km 2/07 8; km 2/06 5; od 85-86; km 2/01 4; km 11/00 3; km 11/98 6
kushirikiana na wazee Wakristo: w08 11/15 10-11
majira ya Ukumbusho: km 1/08 4-5; km 3/07 1; km 2/04 3; km 2/02 4-5; km 3/02 1, 4-5; km 4/02 3; km 2/01 4; km 4/01 3; km 3/00 5
mwandishi wa kutaniko: km 2/01 4
ndugu asiyetenda ambaye anaogopa kukutana na Mashahidi wengine: w08 11/15 16
wahubiri ambao hawajashiriki katika huduma kwa muda mrefu: km 2/07 8; km 11/00 3
wajibu wa kuwatafuta: w08 11/15 12; w03 2/1 14-16
wanaohudhuria Ukumbusho: km 4/11 1; km 3/08 4
mambo yaliyoonwa:
asiyetenda aliyesaidiwa nyumba yake ilipokuwa karibu kuteketea: w04 6/1 30
asiyetenda ambaye alikuwa na mwelekeo wa kuwachambua Wakristo wenzake: w11 2/15 20
asiyetenda avutiwa na ndugu wanaomjali: w08 11/15 15-16
dada aendelea kumtia moyo mhubiri asiyetenda: km 2/07 8
funzo la Biblia lamsaidia dada: km 2/06 5
kijana amwomba Mungu msaada wa kuanza kumtumikia tena: w12 4/1 10-11; w00 3/1 6-7
mume wa dada asiyetenda asaidiwa: yb05 54
mwana asiyetenda aketi karibu na babake anapokufa: w06 5/15 30
painia amkaribia kijana bandarini: yb12 73-75
upinzani wa baba: g 9/08 13-14
wahubiri wasiotenda wasaidiwa kwa kutembelea ofisi ya tawi: w10 8/15 18-19
mambo yanayochangia:
dhambi: w08 11/15 12, 14-15
kukwazwa: w08 11/15 14
kutokubali fundisho fulani: w08 11/15 14
“mahangaiko ya maisha” (Lu 21:34): w08 11/15 13-14
ni tofauti na kujitenga na ushirika: od 155
wasiotenda watiwa moyo warudie utendaji wa Kikristo: w12 4/1 10-11; w06 9/1 21; w05 12/15 27; w00 12/15 12-13