Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Wanazi, Utawala wa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wanazi, Utawala wa
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Manukuu
  • Mashahidi wa Yehova
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

WANAZI, UTAWALA WA

(Ona pia Hitler, Adolf; Kambi za Mateso; Maangamizi Makubwa [Enzi ya Wanazi]; Ujerumani [Wakati wa Utawala wa Wanazi])

(Kuna vichwa vidogo: Manukuu; Mashahidi wa Yehova)

Austria: w05 5/1 24

Czechoslovakia:

Ngome ya Terezín: g 3/12 19-20

Kanisa Katoliki:

hati We Remember: A Reflection on the Shoah: g99 6/22 30; g98 10/22 26-27

kitabu The Catholic Church and Nazi Germany: re 270-271

laichochea serikali iwapinge Mashahidi: jv 659

lawaomba Wayahudi msamaha: g98 4/22 29

liliunga mkono utawala wa Wanazi: re 40, 237-238, 244

kilichowafanya watu waliojidai kuwa ni Wakristo wawaunge mkono Wanazi: g02 8/8 6; w00 9/1 32

makasisi waliwaunga mkono Wanazi: re 39-40; w97 8/15 32

“Agano Jipya” lililosahihishwa: w97 10/1 19

Nzige:

raia hawakujali: g 10/12 27

von Papen alivyohusika: re 237

wapata mamlaka: re 237-238

watu wa makanisa walinyamaza: w00 9/1 32

Manukuu

Mashahidi wa Yehova:

dini pekee iliyokataa kabisa kukubali madai ya utawala wa Hitler: w05 8/15 30

hakuna kikundi kingine kilichopatwa na ukatili wa askari wa SS kama Wanafunzi wa Biblia: jv 553

hatimaye hata SS waliwaheshimu: jv 664

hawakushirikiana na sehemu yoyote ya serikali ya Wanazi: re 39

hawakuwa na shaka juu ya msingi wao, kwa sababu imani yao ilikuwa imekuwa dhahiri tangu wakati wa Abeli: jv 664

hawa wachongewao na kudhihakiwa ndio waliosimama imara: w97 8/15 32

imani katika Mungu na itibari katika ahadi za Biblia ziliwapa nguvu za kusimama imara: g97 6/22 15

imani thabiti: re 102

kani imara ya kimafundisho: jv 663

kikundi kidogo sana chenye nguvu za [adili] za daima: g98 11/22 13; jv 663

kipingamizi kikubwa zaidi kwa Wanazi kilikuwa msimamo wao wa kutokuwamo katika mambo ya kisiasa: g98 11/22 13; jv 194

makanisa ya Kikristo hayakupinga harakati za Usoshalisti wa Kitaifa kama walivyofanya Mashahidi: w01 6/1 21

mmoja kati ya kila Mashahidi wawili alifungwa gerezani, mmoja kati ya wanne alipoteza uhai: w96 2/1 6

mnyanyaso hadi kifo uliwapata wao tu: w00 4/1 25

msimamo wao ulikuwa na uvutano mzuri kwa wafungwa wengine: g 4/06 11

mwanga katika enzi yenye giza: g97 6/22 14

njia zilizokuwa zimetumiwa kwa muda mrefu za mnyanyaso, mateso, kufungwa gerezani na kudhihakiwa hazikuwafanya Mashahidi wageuke wawe na msimamo wa Nazi: jv 664

shirika hili (la Wayahudi) latambua na kustaajabia imani yao: g00 4/8 31

tunawakumbuka kwa staha sana watu hawa: g97 6/22 14

ulishindwa na Mashahidi pekee: w01 7/15 19; jv 553

wajapokabiliwa na matatizo makubwa ajabu, Mashahidi katika kambi walikutana na kusali pamoja, wakatokeza fasihi na kugeuza watu wafuate imani yao: jv 663

walikataa kuidhinisha au kuunga mkono utawala wa Wanazi: w00 9/1 32

walikataa kushirikiana kwa vyovyote na Wanazi: w04 2/15 6-7

walinyanyaswa kwa sababu za kidini tu: jv 660

walishinda vita dhidi ya Unazi: jv 663

waliteta, tangu mwanzoni, kwa umoja, na kwa ujasiri mkubwa: g98 10/22 27

wana umoja na msimamo wa ujasiri unaofanya tuwaheshimu: w11 10/1 14

wangaliweza kuachiliwa papo hapo: w05 8/15 30

wao pekee walikinza Wanazi: w97 8/15 32

watu wa kawaida walioshikilia kwa uthabiti imani yao: w05 8/15 30

wote waliowaona wakifa waliguswa moyo sana, na hata kikosi cha wauaji chenyewe kiliguswa moyo: jv 663

Mashahidi wa Yehova

alama ya pembetatu ya zambarau: w07 9/1 10; w06 2/15 32

amtendea kwa upendo jirani aliyemripoti kwa Wanazi ili akamatwe (Ufaransa): g98 10/22 7

barua ambazo Mashahidi waliandika kabla tu ya kuuawa: w09 12/15 27; yb09 169; w07 7/15 31; w05 5/1 18; w03 1/15 32; w01 11/15 32; jv 662

barua zilizoandikiwa Hitler na serikali ya Hitler: w11 10/1 14; g03 1/8 31; jv 315, 552, 693-694

‘hati ya kukana imani’ ilienezwa na Wanazi: w11 1/15 11; g03 9/8 19; jv 660, 663

yaliyomo: jv 661

Jumba la Makumbusho la Maangamizi Makubwa (Marekani):

maonyesho kuwahusu Mashahidi wa Yehova nchini Uholanzi: g99 9/22 24-25

kambi za mateso: w04 10/15 27-28; jv 659-665, 720

watu waliookoka wawasifu Mashahidi: g 8/07 30

Kanisa Katoliki laichochea serikali iwapinge Mashahidi: jv 659

Kikosi Maalumu cha Gestapo cha kuwakomesha Mashahidi: jv 553

maelezo ya—

de Gaulle, Geneviève: w05 8/15 30; jv 664

Gluck, Gemma La Guardia: w06 8/1 6

maelezo ya Mashahidi waliohukumiwa kifo: w07 7/15 31

maonyesho barani Ulaya (1995): g96 6/8 16-19

maonyesho huko Auschwitz (2004): g 4/06 10-11

Mashahidi wakamatwa: jv 553

Mashahidi walioteseka wakati wa utawala wa Wanazi wasifiwa:

bamba la ukumbusho (Hungaria) (2002): w03 1/15 32

wasemaji kwenye siku ya kuwakumbuka walioteseka huko Auschwitz (2003): w05 8/15 30

Mashahidi Wayahudi: g01 12/22 19-23; w98 6/1 28-31

mateso: w08 9/15 8; re 39-40; w01 3/15 8-9; w00 4/1 19, 24-28; jv 552-553, 659-665

mwaminifu hadi kifo: w04 12/1 28

mwenendo wa mfanyakazi wa nyumbani wavutia familia: w05 5/1 31

Poland: w07 9/1 9-11; w04 10/15 27-28

ripoti ya mwanafunzi wa shule “Waathiriwa Waliosahauliwa wa Utawala wa Nazi”: w04 9/1 29

serikali ya Hitler yaandikiwa telegramu: jv 315, 552, 693-694

simulizi la maisha la msichana ambaye wazazi wake waliuawa: w04 12/1 24-29

tisho la Hitler: w05 12/15 22; jv 552-553

Ukrainia: g00 9/22 19-20

ushikamanifu kwa Mashahidi wenzi: w01 10/1 23

uwongo wa kwamba Mashahidi walishirikiana na Wanazi: g05 10/22 10; g98 7/8 10-14

video kuhusu msimamo wa Mashahidi wakati wa Wanazi (Jehovah’s Witnesses Stand Firm Against Nazi Assault): w01 6/1 21; g97 6/22 14-15

vitabu vya ulimwengu kuwahusu Mashahidi wakati wa utawala wa Wanazi:

Betrayal—German Churches and the Holocaust: w00 9/1 32

Between Resistance and Martyrdom—Jehovah’s Witnesses in the Third Reich: w11 4/15 21

Commandant of Auschwitz: jv 663

Ideology of Death: w97 8/15 32

Imprisoned for Their Faith—Jehovah’s Witnesses in Auschwitz Concentration Camp: g 4/06 11

Kirchenkampf in Deutschland: re 102

Les Témoins de Jéhovah face à Hitler: w99 10/15 32

Mothers in the Fatherland: re 39

My Story: w06 8/1 6

New Religious Movements: A Perspective for Understanding Society: jv 664-665

The Churches’ Response to the Holocaust: g98 11/22 13; jv 194

The Nazi State and the New Religions: Five Case Studies in Non-Conformity: jv 553, 663

Values and Violence in Auschwitz: jv 663

walikataa kukana imani: w06 8/1 6; re 39, 102; w05 8/15 30; jv 660-661

tofauti na makanisa: w97 8/15 32

walikataa kumtukuza Hitler: g 8/11 18; w04 12/1 25; jv 196, 669

waliponea chupuchupu: re 21; w04 12/1 27; w97 8/1 21

Wanazi ambao baadaye walikuja kuwa Mashahidi:

Bernhardt, Gottlieb: g 2/10 18-20

wasifiwa kwa ujasiri wao: w05 8/15 30; w01 6/1 21

watoto wadumisha utimilifu: g 8/11 18-20; w09 6/15 4

watoto watenganishwa na wazazi: g 8/11 18-20; w07 9/1 9; w04 10/15 28

watu mbalimbali:

Alfermann, Joachim: w07 10/15 32

Engleitner, Leopold: w05 5/1 23-28

familia ya Danner: w09 6/15 3-6

Hisiger, Joseph: w09 3/1 20-23

Holtorf, Ferdinand na Natalie: w05 1/1 18-23

Letonja, Anton: g03 2/8 16-20

Liska, Hermine: g 8/11 18-20

Reuter, Georg: w97 4/15 15

Riet, Narciso: w05 6/15 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki