Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/95 uku. 2
  • Mikutano Ya Utumishi Kwa Mei

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mikutano Ya Utumishi Kwa Mei
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1995
  • Vichwa vidogo
  • Juma Linaloanza Mei 1
  • Juma Linaloanza Mei 8
  • Juma Linaloanza Mei 15
  • Juma Linaloanza Mei 22
  • Juma Linaloanza Mei 29
Huduma Yetu ya Ufalme—1995
km 5/95 uku. 2

Mikutano Ya Utumishi Kwa Mei

Juma Linaloanza Mei 1

Wimbo 43

Dak 10: Matangazo ya kwenu na Matangazo yaliyoteuliwa kutoka Huduma ya Ufalme Yetu.

Dak 15: “Habari Njema kwa Wanyenyekevu.” Zungumzia makala pamoja na wasikilizaji, kisha uwe na onyesho la utoaji mmoja au mbili.

Dak 20: “Trakti ya Pekee Habari za Ufalme kwa Kila Mtu.” Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji ikitolewa na mwangalizi wa utumishi. Pitia yaliyotimizwa kufikia sasa katika kugawanya trakti Habari za Ufalme, hasa ukionyesha tegemezo zuri lililotolewa wakati wa mipango ya utumishi na ushiriki wa wapya katika utumishi wa shambani kwa mara ya kwanza. Ripoti kutimizwa kwa eneo; eleza linalohitaji kufanywa ikiwa kutaniko jingine laomba msaada. Tia moyo wote wafanye jitihada ya ziada kugawanya ugavi wao wa Habari za Ufalme. Tilia mkazo umuhimu wa kuweka rekodi ya kupendezwa na kufanya ziara za kurudia katika jitihada ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Panga uwe na onyesho la utoaji uliopendekezwa.

Wimbo 55 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Mei 8

Wimbo 61

Dak 15: Matangazo ya kwenu. “Wewe Pia Waweza Kufurahia Yaliyoonwa Yenye Kupendeza!” Wakati ukiruhusu, alika wasikilizaji waeleze yaliyoonwa yenye kutia moyo walipokuwa wakitoa Habari za Ufalme.

Dak 15: Mahitaji ya kwenu. Au hotuba juu ya makala “Jinsi Wakristo Hukabili Shutumu ya Peupe” katika Mnara wa Mlinzi la Aprili 1, 1995, kurasa 26-29.

Dak 15: “Kwa Nini Uweke Rekodi ya Wasiokuwepo Nyumbani?” Maswali na majibu.

Wimbo 60 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Mei 15

Wimbo 54

Dak 10: Matangazo ya kwenu. Ripoti ya hesabu.

Dak 20: “Kufuata Kielelezo Chetu Tukiwa Wachukuaji-Nuru.” Maswali na majibu.

Dak 15: “Urahisishaji wa Mkusanyiko wa Wilaya wa 1995.” Hotuba ya mafungu 1-8, ishughulikiwe na mwangalizi-msimamizi. Kazia manufaa chanya za marekebisho ya kuwa bila utumishi wa chakula.

Wimbo 45 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Mei 22

Wimbo 66

Dak 10: Matangazo ya kwenu. Tia moyo kufanya upainia-msaidizi wakati wa miezi inayokuja. Pitia sifa za ustahili zilizo kwenye kitabu Tumefanywa Tengenezo Tutimize Huduma Yetu, kurasa 113-114.

Dak 15: “Kutia Alama Kunakoleta Ukombozi.” Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Tia ndani onyesho moja au mbili kuonyesha jinsi ziara za kurudia ziwezavyo kufanywa.

Dak 20: “Urahisishaji wa Mkusanyiko wa Wilaya wa 1995.” Maswali na majibu ya mafungu 9-19 yashughulikiwe na mwandishi wa kutaniko. Toa uangalifu kwa sanduku la vikumbusho kwenye umalizio. Kazia kutumia busara kwa kuleta chakula cha lazima tu na vifaa vinavyohusiana navyo katika mkusanyiko.”

Wimbo 74 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Mei 29

Wimbo 79

Dak 15: Matangazo ya kwenu. Toa madokezo yatakayotia moyo wahubiri wajaribu kusoma Andiko likiwa sehemu ya utoaji wao milangoni. Watu wengi wanaheshimu Biblia nao wana nia ya kusikiliza inaposomwa. Shauri layo huwa na uzito na litahamasisha mtu aliye mnyoofu. Huenda ikafaa kuwa na Biblia mkononi unapofikia mlango. Maandiko yapaswa kusomwa kwa hisia na ufasaha.—Ona kitabu Kiongozi cha Shule, kurasa 32-33, mafungu 12-15.

Dak 12: Sanduku la swali. Maswali na majibu. Eleza ni kwa nini sisi hunufaika na mikutano zaidi tunapojitayarisha mapema vya kutosha na kuleta vifaa vyote vya habari tuliyogawiwa.

Dak 18: Toa kitabu Creation Wakati wa Juni. Katika Kiswahili toleo lapaswa kuwa kitabu Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Simulia maelezo yaliyotolewa na watu wenye kupendezwa waliovutiwa na kitabu Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation? (Ona Mnara wa Mlinzi, Machi 15, 1987, ukurasa 32; Mei 1, 1986, ukurasa 32; Septemba 1, 1986, ukurasa 31.) Kazia vielezi vilivyo kwenye kurasa 6, 236-237, 243, na 245, na uonyeshe jinsi hivi viwezavyo kutumiwa kuanzisha mazungumzo. Panga uwe na mhubiri mwenye uwezo atoe onyesho la utoaji unaoeleza uchaguzi ambao kila mmoja apaswa kufanya ili apate uhai wa milele, akitumia mawazo na maandiko yaliyo kwenye kurasa 250-251. Kumbusha kila mtu achukue nakala za kutumia katika utumishi mwisho-juma huu.

Wimbo 63 na sala ya kumalizia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki