Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 4
JUMA LINALOANZA APRILI 4
Wimbo 116 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 2 ¶1-7, sanduku kwenye uku. 13 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 16-20 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 18:1-21 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Yesu Ana Mwili Wake wa Nyama Huko Mbinguni?—rs uku. 435 ¶4–uku. 436 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Watawala Wanaowafahamu Mashahidi wa Yehova Huwasifu?—Rom. 13:3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Nufaika na Kitabu cha Mwaka—2011. Mazungumzo. Pitia “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza.” Panga mapema wahubiri fulani wasimulie mambo yaliyoonwa kutoka katika Kitabu cha Mwaka yanayotia moyo. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo yanayowapendeza katika ripoti ya ulimwenguni pote. Malizia kwa kuwatia moyo wote wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka.
Dak. 15: Mahitaji ya kwenu. Ikiwa inafaa eneo la kwenu, zungumzieni makala “Utamwambia Nini Mwislamu?” katika Huduma ya Ufalme Yetu ya Novemba 1999. Panga onyesho.
Wimbo 103 na Sala