Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 5
JUMA LINALOANZA MACHI 5
Wimbo 103 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 17 ¶15-19 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 3:14-25 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tunajivunia Kuitwa kwa Jina la Yehova?—Isa. 43:12 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Ina Maoni Gani Kuhusu Talaka na Kufunga Ndoa Tena?—rs uku. 229 ¶2–uku. 230 ¶2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Faidika na Kijitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2012. Toa hotuba fupi ikitegemea dibaji ya kijitabu hicho, kisha uwaalike wasikilizaji waeleze wakati ambao wametenga kwa ajili ya kuzungumzia andiko la siku, na jinsi ambavyo wamefaidika. Malizia kwa kuzungumzia andiko la mwaka wa 2012.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Machi. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kuzungumzia makala chache ambazo huenda zikawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na vilevile andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za kwanza za Amkeni! na, wakati ukiruhusu, kuhusu makala nyingine moja katika mojawapo ya magazeti. Panga onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 75 na Sala