Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 12
JUMA LINALOANZA MACHI 12
Wimbo 40 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 ¶1-5, masanduku kwenye uku. 142, 144 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 5-7 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 5:15-25 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Zamani Mungu Aliruhusu Ndoa Kati ya Mtu na Dada Yake?—rs uku. 230 ¶3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Yehova Huwalindaje Watu Wake Kutokana na Hatari za Kiroho? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sitawisha Ustadi wa Kufundisha—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 57, fungu la 3, hadi ukurasa wa 58, fungu la 3.
Dak. 10: Sikuzote na Tumtolee Mungu Dhabihu ya Sifa. (Ebr. 13:15) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 59, fungu la 1-2, na ukurasa wa 71, fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Endeleeni Kufanya Hivi.” Maswali na majibu. Julisha kutaniko kuhusu wakati na mahali ambapo kutaniko lenu litafanyia Ukumbusho.
Wimbo 109 na Sala