Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 29
JUMA LINALOANZA OKTOBA 29
Wimbo 13 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 28 ¶16-22 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hosea 8-14 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: “Jinsi ya Kunufaika Kutokana na Kikundi Chako cha Utumishi wa Shambani.” Maswali na majibu. Unapozungumzia sanduku kwenye ukurasa wa 6, mhoji kwa ufupi ndugu ambaye mikutano ya utumishi wa shambani hufanywa nyumbani kwake. Anajitayarishaje kwa ajili ya mikutano ya utumishi wa shambani inayoongozwa nyumbani kwake kila juma? Kwa nini anathamini pendeleo la kuwa na mikutano hiyo katika nyumba yake?
Dak. 15: “Njia Tano za Kupata Funzo la Biblia.” Maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 6, waalike wale ambao wameongoza funzo la Biblia lenye maendeleo waeleze shangwe waliyopata.
Wimbo 122 na Sala