Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 14
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 14
Wimbo 50 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 30 ¶10-18 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 16-18 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 17:12-18 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Unawezaje Kunufaika Zaidi Unaposoma Biblia?—igw uku. 32 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Wanadamu Wote Wanaathiriwa na Dhambi ya Adamu?—td 3B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema.’ —Mdo. 20:24.
Dak. 10: “Toa Ushahidi Kamili Kuhusu Habari Njema.” Hotuba inayotegemea kichwa cha mwezi na kitabu Kutoa Ushahidi, sura ya 1, fungu la 1-11.—Mdo. 20:24.
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuhubiri Katika Maeneo ya Biashara.” Mazungumzo. Tia ndani onyesho fupi lenye sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza ya onyesho, mhubiri hatumii utambuzi anapojaribu kumhubiria mfanyabiashara. Kisha, sehemu ya pili iwe na kikao kilekile, lakini wakati huu mhubiri anatumia utambuzi. Baadaye, waombe wasikilizaji waeleze kwa nini sehemu ya pili ya onyesho hilo ilikuwa na matokeo mazuri zaidi.
Wimbo 96 na Sala