Mwisho wa Vita
● Imesemekana kwamba vita inaacha nchi ikiwa na majeshi matatu: jeshi la vilema, jeshi la wajane na jeshi la wezi. Inaridhisha namna gani kuwa na uhakikisho wa Biblia kwamba chini ya ufalme wa Mungu vita vitakoma milele!—Zab. 46:9; Isa. 2:4; Mik. 4:3.