HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MARKO 11-12
Ametumbukiza Zaidi ya Wote
Simulizi hilo linatusaidiaje kujifunza mambo yafuatayo?
Yehova anathamini tunachofanya
Fanya yote uwezayo katika utumishi wa Yehova
Usilinganishe yale unayofanya na yale ambayo wengine wanafanya au na yale uliyoweza kufanya wakati uliopita
Maskini hawapaswi kusita kutoa mchango hata ikiwa ni mdogo tu
Umejifunza masomo gani mengine?