Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Novemba uku. 4
  • Tunapaswa Kufanya Pigano Kali Ili Kubaki Katika Kweli

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tunapaswa Kufanya Pigano Kali Ili Kubaki Katika Kweli
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Fanyeni Pigano Kali kwa Ajili ya Imani’!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • Kitabu cha Biblia Namba 65—Yuda
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • “Wapendwa, . . . Jidumisheni Katika Upendo wa Mungu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • “Mwishindanie Imani”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Novemba uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 YOHANA 1-13; 3 YOHANA 1-14–YUDA 1-25

Tunapaswa Kufanya Pigano Kali Ili Kubaki Katika Kweli

Yuda 3

Mwanamume akijitahidi sana kuingia kupitia mlango mwembamba

Yesu alituhimiza hivi: “Jitahidini sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba.” (Lu 13:24) Maneno ya Yesu yanaonyesha kwamba tunapaswa kupambana, kujikakamua ili tupate kibali cha Mungu. Yuda, ambaye alikuwa ndugu wa kambo wa Yesu, aliongozwa na roho kuandika maneno kama hayo: “[Fanyeni] pigano kali kwa ajili ya imani.” Tunahitaji kutia bidii ili kufanya mambo yafuatayo:

  • Kupinga kishawishi cha upotovu wa maadili kingono.​—Yuda 6, 7

  • Kuwaheshimu wanaoongoza.​—Yuda 8, 9

  • Kuimarisha usadikisho wetu katika ‘imani takatifu zaidi,’ yaani, mafundisho ya Kikristo.​—Yuda 20, 21

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki