Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Novemba uku. 2
  • Musa Alifuata Maagizo kwa Makini

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Musa Alifuata Maagizo kwa Makini
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Je! Wewe Hufuata Maagizo?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Maagizo kwa Ndugu Walio na Migawo Katika Mkutano wa Utumishi
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Kitabu Cha Biblia Namba 2—Kutoka
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Novemba uku. 2

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 39-40

Musa Alifuata Maagizo kwa Makini

39:32, 43; 40:1, 2, 16

Musa alifuata kwa makini maagizo ya Yehova ya kujenga na kusimamisha hema la ibada. Vivyo hivyo sisi tunapaswa kusikiliza maagizo tunayopata kutoka kwa tengenezo la Yehova na kutii haraka na kwa moyo wote. Tunapaswa kufanya hivyo hata ikiwa hayaonekani kuwa muhimu au ikiwa hatuelewi sababu ya maagizo hayo.​—Lu 16:10.

Kwa nini tunapaswa kusikiliza kwa makini maagizo . . .

  • wakati wa mikutano ya utumishi wa shambani?

  • kuhusu kujitayarisha kwa ajili ya hali za dharura za kitiba?

  • kuhusu kujitayarisha kwa ajili ya misiba?

Picha: Akina ndugu na dada wakifuata maagizo waliyopokea. 1. Kikundi kikikutana barazani kwa ajili ya utumishi wa shambani. 2. Dada akijaza maamuzi yake ya kitiba kwenye hati ya kisheria. 3. Familia ikitia maandalizi ya dharura katika mfuko.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki