HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Iga Jinsi Yehova Anavyotumia Mamlaka Yake
Yehova ndiye mwenye mamlaka kuu (1Fa 22:19; it-2 21)
Yehova anawaheshimu wale wanaojitiisha kwake (1Fa 22:20-22; w21.02 4 ¶9)
Yehova alibariki kazi ya malaika fulani (1Fa 22:23; it-2 245)
Wazee na vichwa vya familia hasa ndio wanaopaswa kuiga njia ya Yehova ya kutumia mamlaka. (Efe 6:4; 1Pe 3:7; 5:2, 3) Wanapofanya hivyo, wale walio chini ya mamlaka yao watakuwa na furaha na wataridhika.