HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Subira ya Yehova Ina Mipaka
Yehova aliruhusu taifa la Ashuru lishinde Israeli (2Fa 17:5, 6; it-2 908 ¶5)
Yehova aliwaadhibu watu wake kwa sababu waliendelea kumkasirisha (2Fa 17:9-12; it-1 414-415)
Yehova aliwaonyesha Waisraeli subira na kuwaonya tena na tena (2Fa 17:13, 14)
Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo ana subira nyingi kuelekea wanadamu wasio wakamilifu. (2Pe 3:9) Hata hivyo, ili kutimiza kusudi lake, atawaharibu waovu hivi karibuni. Kwa nini hilo linapaswa kutuchochea kusikiliza tunaporekebishwa na kuhubiri kwa uharaka?