Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Januari uku. 3
  • Dumisha Hisi Yako ya Uharaka

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Dumisha Hisi Yako ya Uharaka
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Subira ya Yehova Ina Mipaka
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Yehova Alifanya Jambo Lisilotarajiwa
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Kwa Nini Uwe Mnyenyekevu?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • “Mchukue Mwanao”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Januari uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Dumisha Hisi Yako ya Uharaka

Kwa miaka mingi, Yehova aliwaonya watu wa Yuda kwamba angewakataa ikiwa wangeendelea kutenda maovu (2Fa 24:2, 3; w01 2/15 12 ¶2)

Yehova aliwatumia Wababiloni kuharibu Yerusalemu mwaka wa 607 K.W.K. (2Fa 25:8-10; w07 3/15 11 ¶10)

Yehova aliwalinda wale waliotenda kupatana na maonyo yake (2Fa 25:11)

Ndugu akimhubiria mfanyakazi mwenzake wakati wa chakula cha mchana.

Kwa miaka mingi, Yehova amewaonya watu duniani kwamba atatekeleza hukumu dhidi ya “watu wasiomwogopa Mungu.”​—2Pe 3:7.

JIULIZE, ‘Je, ninatumia kila fursa kuwasaidia wengine kutii onyo la Mungu?’​—2Ti 4:2.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki