11 Kutakuwa na matetemeko makubwa ya ardhi, na magonjwa na upungufu wa chakula katika sehemu mbalimbali;+ pia kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.
11 na kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi, na katika mahali pamoja baada ya pengine kutakuwa na tauni na upungufu wa chakula;+ kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.+