54 Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alienda katika eneo lililo karibu na nyika, katika jiji linaloitwa Efraimu,+ naye akakaa huko pamoja na wanafunzi.
54 Kwa sababu hiyo Yesu hakutembea tena huku na huku hadharani+ kati ya Wayahudi,+ bali aliondoka huko mpaka nchi iliyo karibu na nyika, akaingia katika jiji linaloitwa Efraimu,+ na humo akakaa pamoja na wanafunzi.