16 Wafikirieni wengine kama mnavyojifikiria; msikazie akili zenu kwenye mambo makuu,* bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe.+
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+