CHUKI
(Ona pia Chuki ya Kijamii; Uadui; Ubaguzi; Ubaguzi wa Rangi)
chuki isiyofaa: bh 127; w01 9/15 25
chuki itakwisha: g01 8/8 11; w00 8/15 5-7
dini zimeshindwa: g98 10/22 3-4
chuki ya kijamii: w07 7/1 3-6; g03 8/8 26-27
kadiri ambavyo chuki imeenea: g01 8/8 3; w00 8/15 3-4; g98 10/22 3-4; g97 9/8 3-4
kuchukia yaliyo mabaya: w11 2/15 28-32; w07 7/1 23-24; jd 90-91; w05 1/1 9-10; w04 11/15 23; w01 12/1 19-21; w97 1/1 26-29; g97 12/8 14-15
kusema uwongo: w03 9/15 23
kuishinda chuki: g01 8/8 11
kwa upendo: w03 3/15 5-6; g01 8/8 8-10; g97 9/8 9-11
kutomchukia ndugu Mkristo: lv 82; w06 1/15 22
maana ya Mkristo kuwachukia watu wa ukoo na pia nafsi yake mwenyewe (Lu 14:26): w08 3/15 32
maelezo: g01 8/8 3-11; w00 8/15 3-7; g97 9/8 3-8
mambo yaliyoonwa:
dada za mtu aliyeuawa hawachukii wauaji: w00 8/15 5
familia zashinda chuki ya kijamii: w00 8/15 6
ndugu ya baba ya Mhamaji auawa: g03 1/8 18-20
uadui kati ya familia waisha wanapojifunza kweli: jv 467
watoto wapiganaji wa kuvizia: g01 8/8 9-10
watu waliokuwa maadui waungana: w01 1/1 4-6; g01 8/8 10; w99 1/1 25; g98 11/22 14
mambo yanayochangia: g01 8/8 4-7; w00 8/15 4-5; g97 9/8 4-8
‘mchukie adui yako’ (Mt 5:43) (mapokeo ya Wayahudi): cf 103-104
mtu kufanya mema ijapokuwa anachukiwa: lr 137-141
“mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa” (Met 14:17): w06 9/15 18; w05 7/15 19
“ndugu zenu wanaowachukia” (Isa 66:5): ip-2 394-396
ufafanuzi: w11 12/1 23; w04 8/15 12; g97 9/8 3-4
visa katika Biblia:
Kaini: lr 225
Mungu ‘alimchukia’ Esau (Mal 1:3): w02 5/1 10-11
Wayahudi waliwachukia Wasamaria: cf 77; g04 9/8 8; w98 7/1 30
wanafunzi wa Kristo wanachukiwa: g 5/11 20-21; w04 8/15 12-17; w98 12/1 8-18
watu wa jamii ndogo wanachukiwa:
hali zilizokuwapo kabla ya Maangamizi Makubwa zatokea tena (enzi ya Wanazi): g99 3/22 28
Wayahudi wa karne ya kwanza walichukiwa: w98 12/1 9-10
ya Yehova: w11 12/1 23-25; bh 122-123
“amechukia talaka” (Mal 2:16): jd 125-126; w02 5/1 17-19; g99 4/22 11
anawachukia wanaopenda jeuri (Zb 11:5): lv 82; w07 6/1 6; w05 9/15 29
kwa ajili ya ukosefu wa haki: w12 8/1 27; cl 118-120
usawaziko kati ya chuki na upendo: w11 12/1 23-25
‘vitu ambavyo Yehova anachukia’ (Met 6:16-19): w00 9/15 27