Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Mahakama

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mahakama
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Maeneo Mbalimbali
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

MAHAKAMA

(Ona pia Kesi; Maamuzi ya Mahakama Kuu; Mahakimu; Sanhedrini; Waamuzi)

(Kuna kichwa kidogo: Maeneo Mbalimbali)

haki ya kuwalea watoto: g97 12/8 4-8, 10-11

mambo ambayo mahakimu wanachunguza hasa: g97 12/8 4-7, 10-11

mapatano bila kupeleka kesi mahakamani: g97 12/8 4, 7-8

suala la dini: g97 12/8 5-7

jinsi ya kujiendesha mahakamani:

Paulo ni mfano wa kuigwa: bt 193-194, 198, 201

kesi kuhusu kutiwa damu mishipani: w96 11/15 24

Mashahidi ni wa kwanza kupeleka kesi mahakamani: jv 185-186

mgonjwa ana haki ya kukataa kutiwa damu: yb11 26; g98 8/22 11; w97 8/1 32

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu: yb12 34; g96 3/8 20-21

mambo yaliyoonwa:

hakimu ashangaa: w06 12/1 32

kasisi ashindwa kutoa uthibitisho kuhusu toharani: jv 682

mwandishi wa mahakamani athamini Amkeni!: g98 7/8 32

maoni ya Kikristo kuzihusu:

kuwapeleka Wakristo wenzi mahakamani: w97 3/15 21-22; w97 4/15 27; w96 3/15 15

viapo: w12 10/15 27; w03 1/15 21

Mashahidi wa Yehova: bt 186; jt 8; w98 12/1 19-22; jv 678-701

Mahakama Kuu yabadili maamuzi (Marekani): jv 687

Majumba ya Kusanyiko: jv 331-332

maoni ya Mashahidi kuhusu kuapa (kula kiapo): w01 8/15 20-21; w97 11/15 22

maoni ya Mashahidi kuhusu kukata rufani: bt 200

maoni ya Mashahidi kuhusu kulipa faini kwa sababu ya kuhubiri: jv 683

maoni ya Mashahidi kuhusu kushiriki katika baraza la raia la mahakama: w97 4/1 27-29; w97 4/15 27

Mashahidi waelimishwa kushughulikia kesi za mahakamani: jv 690-692

suala la kusambaza vitabu bila kibali: jv 681

vibali: jv 681-682, 697-698

wamesaidia kutatua masuala ya sheria za kikatiba: bt 200; w01 5/15 32; w98 12/1 20; g98 4/22 22; jv 690, 698-699; g96 7/22 5

wametolea demokrasia utumishi mkubwa (manukuu): jt 8; g96 7/22 5

miungu mahakamani: ip-2 51-54, 64-65, 70-72

kilichofanya watu wa Mungu waitwe Mashahidi wa Yehova: jv 17-18

ukosefu wa haki:

mambo yanayochangia: w98 6/15 27-28

visa mbalimbali: w98 6/15 26-28

wakati mahakimu wanapotoa hukumu nzuri: g 3/12 28

wanasayansi wanaofanya utafiti ili kupata uthibitisho wa kisa cha uhalifu: w98 6/15 28; g98 3/8 6

wasanii wanaochora vikao vya mahakamani: g03 4/8 14-15

Yehova ahukumu:

“Mzee wa Siku” (Da 7): w12 10/1 18; dp 144-148

Maeneo Mbalimbali

Afrika Kusini:

Mahakama Kuu ya Johannesburg yatetea msimamo wa wanafunzi Mashahidi (1976): yb07 122-123

Mahakama ya Wafanyakazi yaamua kwamba Wanabetheli si wafanyakazi wa kuajiriwa (2009): yb10 16-17

Altay, Jamhuri ya:

Mashahidi wadaiwa kuwa wenye msimamo mkali wa kidini: w11 5/1 18-19; yb11 26-27

Shahidi ashtakiwa kwa kuchochea chuki ya kidini (2010): yb12 42-43

Argentina:

waziri wa mambo ya sheria amwondolea hatia Shahidi aliyefungwa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi (2007): yb08 18

Armenia:

Mahakama Kuu yaamua kwamba mzee wa kutaniko hana hatia (2002): w03 4/1 11-14

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaombwa kusikiliza kesi za Mashahidi waliofungwa kwa sababu ya kukataa utumishi wa jeshi: w12 8/15 17; w12 11/1 29-31; yb12 34-35; yb11 21; yb10 17; yb08 18-19

Mashahidi washtakiwa kwa kukataa kufanya utumishi wa kiraia usiopatana na dhamiri zao (2006): yb08 18

vifungo virefu kwa watu wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri (2003): yb04 18

Australia:

marufuku juu ya Mashahidi yaondolewa (1943): re 92; jv 657

Austria:

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yamtetea Shahidi katika kesi kuhusu haki ya kuwalea watoto (1993, 1996): g96 3/8 21

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yatetea uandikishaji wa kisheria wa dini ya Mashahidi (2005, 2008, 2009): yb10 16; yb09 26; yb06 14

Azerbaijan:

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaombwa itetee uhuru wa ibada (2007): yb09 26-27

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaombwa kuamua kesi inayohusu machapisho (2010): yb11 22

Bulgaria:

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yawatetea wamishonari waliofukuzwa (2003-2004): yb05 10; yb04 18

Denmark:

usambazaji wa vitabu vya Mashahidi: jv 495

El Salvador:

mahakama kuu yatetea haki ya mgonjwa kupata matibabu (1998): g99 5/22 29

Filipino:

kusalimu bendera na kuimba wimbo wa taifa si takwa (1993): w98 12/1 22

Georgia, Jamhuri ya:

mahakama kuu yafuta uandikishaji wa Mashahidi (2001): g02 1/22 22-23

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaamua dhidi ya serikali katika kesi kuhusu kuteswa kwa Mashahidi (2001/2002, 2004, 2007): w08 3/1 11; yb08 16-17; g 2/08 29; yb06 15; yb05 11

watesaji wafikishwa mahakamani (2001-2003): yb04 18-19

Hispania:

mama Shahidi apata haki ya kuwalea watoto (2008): g 7/10 14

India:

si lazima watoto Mashahidi waimbe wimbo wa taifa (1986): re 43

Israeli:

haki ya Mashahidi ya kutumia jumba fulani kwa ajili ya kusanyiko yatetewa (2007): yb08 19-20

Israeli (la kale):

mahakama katika majiji mbalimbali: w06 2/15 31

Sanhedrini: bt 39; w06 2/15 31

utaratibu: w11 4/1 20

Italia:

haki ya kukataa kutiwa damu mishipani baada ya kuarifiwa yatetewa: w96 11/15 24

hati za kuwakamata maofisa wa benki ya Vatikani zaondolewa: re 264

kasisi na wakili wapatikana na hatia ya kuwaharibia Mashahidi sifa (1997): w98 8/15 31

watu walioambukizwa ugonjwa walipotiwa damu yenye viini walipwa ridhaa: g99 9/8 28

Japani:

mahakama kuu yaamua kwamba ni kinyume cha sheria kumtia mtu damu bila kibali chake (2000): g00 9/22 28

Mahakama Kuu yaamua Shahidi alipwe fidia kwa sababu ya kutiwa damu kwa nguvu (1998): w98 12/1 22; w98 12/15 26-29; g98 8/22 11

msimamo wa wanafunzi wa kutoshiriki katika somo la mbinu za kujihami watetewa (1994, 1996): g00 4/22 24; w98 12/1 22; w96 11/1 19-21; g96 5/22 30; g96 9/8 28

Kanada:

amri ya kukataza huduma ya nyumba kwa nyumba yaondolewa (2001, 2003): g04 7/8 24-25

Jumba la Kusanyiko (Surrey, British Columbia): jv 331

kesi ya Donald v. Hamilton Board of Education: jv 688

mahakama yaamua kwamba ziara za Mashahidi ni huduma ya jamii (2001): w03 12/1 30-31

Quebec: g00 4/22 20-21; jv 498, 680-682, 690

shirika la Msalaba Mwekundu lilipatikana na hatia katika kesi ya watu wawili walioambukizwa UKIMWI kwa kutiwa damu: g98 9/22 31

uhaini (1950, kesi ya Aimé Boucher v. His Majesty The King): w00 2/1 25; g00 4/22 21-22; jv 689-690

usambazaji wa vitabu (1953, kesi ya Laurier Saumur v. The City of Quebec): w00 2/1 25; g00 4/22 22; jv 690

Kazakhstan:

Mashahidi washinda kesi za mahakamani (2008): yb10 20

Kongo (Zaire), Jamhuri ya Kidemokrasia ya:

marufuku juu ya Mashahidi si halali (1993): yb04 236-237

Korea (Kusini), Jamhuri ya:

Kamati ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa yatetea msimamo wa Mashahidi wa kukataa kujiunga na jeshi (2006): yb09 23; yb08 17-18

mahakama haitambui haki ya kukataa kujiunga na jeshi (2002, 2004): yb12 36-37; yb05 15

Mashahidi waliohukumiwa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi wakata rufaa: yb08 17-18

Kosta Rika:

sheria kuhusu mikanda ya viti vya magari yafutwa: g98 7/8 29

Mahakama Kuu ya Marekani:

idadi ya kesi zinazowahusu Mashahidi: w01 6/1 19; jv 499, 679, 687-688, 699

kazi ya kuhubiri ya Mashahidi si ya kuchochea uasi (1943, kesi ya Taylor v. State of Mississippi): re 92; jv 688

kuhubiri nyumba kwa nyumba (2002, kesi ya Watchtower v. Village of Stratton): yb05 15-16; yb04 17; g03 1/8 3-11; g03 9/8 30

kusalimu bendera (1940, kesi ya Minersville School District v. Gobitis): jv 669-670, 684-685, 687

kusalimu bendera (1943, kesi ya West Virginia State Board of Education v. Barnette): re 92; jv 197, 686-688

manufaa ya kesi zilizowahusu Mashahidi: jv 699

Marekani ni taifa la Kikristo: jv 684

miji inayomilikiwa na kampuni (1946, kesi ya Marsh v. Alabama): g98 4/22 23-24

sheria za majimbo na manispaa zinapaswa kupatana na Marekebisho ya Kwanza (1940, kesi ya Cantwell v. Connecticut): g03 1/8 5; jv 684

si kinyume cha sheria kwenda nyumba kwa nyumba (1943, kesi ya Martin v. City of Struthers): re 92

usambazaji wa vitabu (1938, kesi ya Lovell v. City of Griffin): bt 200; jv 684

usambazaji wa vitabu (1942, kesi ya Jones v. City of Opelika): jv 685-687

usambazaji wa vitabu (1943, kesi ya Murdock v. Commonwealth of Pennsylvania): re 92; w04 3/15 12; g03 1/8 9-10; w98 12/1 20; jv 349, 687-688

Makedonia:

mahakama kuu yaruhusu vitabu vya Mashahidi viingizwe nchini bila vizuizi: yb09 220

Marekani:

haki ya kuwalea watoto: g97 12/8 6-7

kutia damu mishipani: yb05 16; g98 8/22 11; w97 8/1 32

maagizo ya mahakama ya kuzuia kazi ya kuhubiri: jv 683-687, 697-698

Mashahidi washinda kesi kuhusu Stanley Theater, New Jersey: jv 331-332

ni kinyume cha sheria kufundisha shuleni kwamba vitu vilibuniwa kwa akili (Pennsylvania): g 9/06 30

Rutherford na wawakilishi wengine wa Shirika la Watch Tower (1918/1919): w08 9/15 8; re 39-40, 167-169; w00 10/1 26-27; jv 69-70, 650-654

ushahidi wa mtu aliyefanyiwa kiinimacho haukubaliki: rs 150

Milki ya Roma:

mawe madogo yalitumiwa kutoa hukumu: re 46

Moldova:

Mashahidi washinda kesi za mahakamani: yb10 19-20

Muungano wa Nchi Nne za Afrika ya Kati Zilizotawaliwa na Ufaransa:

Mashahidi si Wakomunisti: yb04 145

Peru:

mahakama yaamua kwamba si lazima Mashahidi walipe kodi ya vitabu vinavyoingizwa nchini (2003): yb05 14

Poland:

wakati wa marufuku (1950-1989): w05 8/1 19

Puerto Riko:

kutiwa damu mishipani: yb11 26; w02 4/1 27; w96 1/15 30

Mashahidi wakatazwa wasiingie mitaani (2004): yb05 15

Rumania:

kesi za mahakamani zilizowahusu Mashahidi (1933-1939): bt 186; yb04 86-87; jv 679-680

mahakama ya rufaa yatetea uandikishaji wa dini ya Mashahidi (2003): yb05 15

Singapore:

Mashahidi wahukumiwa kwa sababu ya kuhudhuria mikutano na kuwa na vitabu (1995-1996): g00 4/22 24

Mashahidi wahukumiwa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi: g97 6/8 23-25

Mashahidi wapinga marufuku ya 1972 (1994): g97 6/8 23

Swaziland:

msimamo wa Mashahidi kuhusu desturi za maombolezo: yb07 171; w98 7/15 22

Ufaransa:

aliyekuwa bunge wa Ufaransa apatikana na hatia ya kuwaharibia Mashahidi jina (2007): yb08 15-16

haki ya kuwalea watoto: yb05 10-11; g04 11/22 12; g98 11/22 20

maofisa wa jiji la Lyon waamriwa wawakodishie Mashahidi jumba la manispaa kwa ajili ya Ukumbusho (2007): yb08 15

Mashahidi waruhusiwa kuona hati za polisi zilizotumiwa kuwatambulisha kuwa madhehebu (2005): g 7/06 29

suala la kuwatoza Mashahidi kodi (1998- ): w12 8/15 17; yb12 39-40; w11 8/15 20; yb10 24; yb09 27; yb08 16; yb07 24; yb06 15

Wanabetheli hawahitaji kulipa ushuru (2007): yb08 15

Uganda:

Mahakama Kuu yaamua kwamba Wanabetheli si wafanyakazi wa kuajiriwa (2009): yb10 17

Ugiriki:

Baraza la Serikali latetea haki ya Mashahidi ya kukataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri (2008, 2010): yb11 24-25; yb09 22-23

kesi kuwahusu Mashahidi: jv 680, 695

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yamtetea Shahidi Mgiriki (1993): bt 200; w98 12/1 20-21; g96 3/8 21

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yawatetea Mashahidi Wagiriki (1996): g97 3/22 14-16

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yawatetea Mashahidi Wagiriki (1997): g98 1/8 19-23

Mashahidi washinda kesi za mahakamani kuhusu haki ya kuhubiri (1995): w97 2/1 32

Uholanzi:

Mahakama Yenye Kudumu ya Mapatano: dp 259

shtaka la kwamba vitabu vya Mashahidi vyawadhihaki makasisi lafutwa (1939): jv 682

Ujerumani (Iliyounganika):

aliyekuwa hakimu amwomba Shahidi msamaha: w96 7/1 32

kusambaza picha chafu za watoto kwenye Intaneti ni tendo la uhalifu: g02 2/22 29

Mashahidi washinda kesi ya kuandikishwa kisheria kama shirika la umma (1997-2001, 2004-2006): yb07 24; yb06 13, 15; g 8/06 19; yb05 11, 14; w01 8/15 8

takwa la kuwa na msalaba darasani lafutiliwa mbali: g96 3/22 29

ukahaba si jambo ovu: g01 8/8 28

Urusi:

jitihada za kuwapiga Mashahidi marufuku huko Moscow (1995-2004): w11 7/15 4-7; yb09 27; yb08 251, 255; yb06 15-16; yb05 4, 16-17; yb04 19; g01 4/22 14-15; g01 8/22 29; g01 12/22 15-16

mahakama yashutumu gazeti lililowaharibia Mashahidi jina (1998): w98 12/1 17-18; g98 11/22 26-27

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaamua kwamba marufuku juu ya Mashahidi huko Moscow si halali (2010): w12 12/15 22; yb12 40-41; w11 7/15 8-9; w11 8/15 20; yb11 27-29; yb08 255

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yaombwa ichunguze visa vya Mashahidi kupelekwa mahakamani tena na tena (2001): yb09 27-28

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yawatetea Mashahidi kuhusu kuvurugwa kwa mkutano (2004, 2007): yb08 250; w07 5/15 31; yb06 16

Mashahidi wadaiwa kuwa wenye msimamo mkali wa kidini (2009-2010): w12 10/15 32; yb12 41; w11 5/1 18-19; yb11 26-27

Mashahidi wa Yehova wakata rufaa kuhusiana na kesi 13 kwenye Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu dhidi ya Urusi (2011): yb12 43

Ukumbusho wavurugwa huko Moscow (2006): yb08 250; yb07 27, 30

Uturuki:

Mahakama ya Amani ya Sisli ya Istanbul yatetea haki ya Mashahidi ya kusambaza vitabu (2006): yb08 22

Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yakubali kusikiliza kesi kuhusu haki za Mashahidi (2009): yb10 23

msimamo wa Mashahidi kuhusu kujiandikisha jeshini: yb07 26

rufani ya Mashahidi kuhusu matumizi ya Jumba la Ufalme lililofungwa yakataliwa (2009): yb11 30-31

Uzbekistan:

hukumu juu ya Shahidi yabatilishwa (2003): yb04 20

Mashahidi wahukumiwa kwa sababu ya kufundisha mambo ya dini (2007): yb08 16

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki