Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/12 uku. 2
  • Tuhubirie “Watu wa Namna Zote”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuhubirie “Watu wa Namna Zote”
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Tolea Watu Magazeti ya Zamani ao Broshua Yoyote Inayozungumzia Habari Zinazowapendeza”
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Wanadamu Wenzetu Wanahitaji Kusikia Habari Njema
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
  • Uwasaidie Watu ili Wamusikilize Mungu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vyombo Mbalimbali vya Kutusaidia Kufundisha
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 1/12 uku. 2

Tuhubirie “Watu wa Namna Zote”

1. Kwa nini wahubiri wenye matokeo wanafanana na fundi mwenye uzoefu?

1 Fundi mwenye uzoefu ana vyombo vingi na anajua namna ya kutumia kila chombo na wakati wa kukitumia. Sisi pia tuna vyombo mbalimbali vinavyotusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri. Kwa mufano, tuna broshua zinazozungumuzia habari mbalimbali zilizochapishwa ili kutusaidia tuhubirie “watu wa namna zote.” (1 Kor. 9:22) Huduma Yetu ya Ufalme hii ina nyongeza inayoonyesha broshua fulani kati ya broshua hizo, inaeleza kila broshua ilifanywa kwa ajili ya nani, na namna tunavyoweza kuitolea watu.

2. Ni wakati gani tunaweza kutolea watu broshua katika mahubiri?

2 Kujua Wakati wa Kutumia Broshua Hizo: Fundi anatumia chombo chake wakati tu anatambua kwamba ni lazima kufanya hiyo. Sisi pia tunapaswa kutumia broshua kila wakati tunapotambua kwamba inaweza kumufaidi mutu fulani, hata kama broshua hiyo si toleo la mwezi. Kwa mufano, ikiwa toleo la mwezi ni kitabu Biblia Inafundisha lakini watu wa eneo letu si Wakristo na hawapendezwi sana na Biblia, inaweza kuwa vizuri kuwatolea kwanza broshua inayowafaa na, wakiisha kupendezwa, tunaweza kuwatolea kitabu Biblia Inafundisha.

3. Kwa nini tunapaswa kujikaza kutumia vyombo vyetu kwa ufundi?

3 Maandiko yanawasifu watu walio na ufundi katika kazi yao. (Met. 22:29) Leo, hakuna kazi iliyo ya maana zaidi kuliko “kazi takatifu ya habari njema.” (Rom. 15:16) Ili tuwe ‘wafanyakazi wasio na lolote la kuonea aibu,’ tunapaswa kujikaza kutumia vyombo vyetu kwa ufundi.—2 Tim. 2:15.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine