Les jeunes s’interrogent... Que vais-je faire de ma vie ? (Sehemu ya 2)
Unapofungua menu principal ya DVD Les jeunes s’interrogent... Que vais-je faire de ma vie ? (Vijana Wanajiuliza—Namna Gani Nitatumia Maisha Yangu?), utaona neno Interviews na ukifungua sehemu hiyo utaona neno Sections. Sehemu hiyo ina sehemu zingine tatu ndogo ndani yake. Kisha kutazama sehemu hizo tatu, tumia maulizo yaliyo kwenye fungu la 2 ili kujikumbusha mambo yaliyo katika sehemu hizo. Kisha rudi kwenye menu principal na ufungue neno Suppléments na utakuta sehemu tano za watu wanaoulizwa maulizo, tumia maulizo yaliyo kwenye fungu la 3 ili kujikumbusha mambo yaliyo katika sehemu hizo.
Sections (Sehemu ya 1)—Se consacrer à des choses vaines ou servir Dieu (Kujitoa kwa ajili ya vitu visivyo vya lazima ao kujitoa kwa ajili ya Mungu): (1) Vijana wanakazwa kufuatia miradi gani? (2) Namna gani andiko la 1 Yohana 2:17 linasaidia vijana kuamua ikiwa watasoma mupaka wapi? (3) Sababu gani vijana hawapaswe kuacha woga uwazuie kubatizwa? (4) Ni mambo gani yatakayowasaidia watimize yale yanayoombwa ili kubatizwa? Sehemu ya 2: Apprendre à aimer la prédication (Kujifunza kufurahia mahubiri): (5) Sababu gani vijana fulani hawafurahie mahubiri? (6) Ni mambo gani ambayo yanaweza kuwasaidia wafurahie mahubiri? (7) Ni jambo gani ambalo vijana fulani wanaogopa hata zaidi kuliko kuzungumuza na mutu ambaye hawajui, na sababu gani? (8) Tunaweza kushinda woga wetu namna gani na hivyo kusema bila woga? (9) Sababu gani ni lazima pia kuwa na ufundi mbalimbali wa kuhubiri? Sehemu ya 3: Une porte ouverte sur l’activité (Mulango unaoongoza kwenye utendaji): (10) Namna gani kufanya utumishi wa painia kunasaidia mutu kufanya maendeleo ya kiroho? (Flp. 3:16) (11) Sababu gani vijana fulani wanasita kuanza utumishi wa painia? (12) Ni kanuni gani za Biblia zinazoweza kutusaidia kushindana na matatizo ya kupata feza? (13) Mapainia fulani wamefanya nini ili kujitegemeza kifeza? (14) Unaweza kufanya nini ikiwa hali yako haikuruhusu kuwa mutumishi wa wakati wote?
Suppléments (Sehemu zingine za kuuliza watu maulizo)—La valeur de l’étude individuelle (Faida ya funzo la pekee): (15) Sababu gani ni lazima kuwa na programu nzuri ya funzo la pekee? D’autres façons de prêcher (Namna mbalimbali za kuhubiri): (16) Namna gani kushiriki katika namna mbalimbali za kuhubiri kunaongeza furaha yetu? Le service au Béthel (Utumishi wa Beteli): (17) Ni mambo gani yenye kufurahisha yanayotokana na utumishi wa Beteli? L’École de formation ministérielle (Masomo ya Mazoezi ya Kihuduma): (18) Namna gani wale ambao wamehuzuria masomo hayo (leo yanaitwa Masomo ya Biblia kwa Ajili ya Ndugu Wasio na Bibi) wamefaidika? Guiléad: la formation au service missionnaire (Masomo ya Gileadi): (19) Namna gani Peter na Fiona walijitayarisha kwa ajili ya kazi ya umisionere, na namna gani walifaidika na Masomo ya Gileadi?