Mwanzo 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya muda akamzalia Zimrani na Yokshani na Medani na Midiani+ na Ishbaki na Shua.+ Kutoka 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baadaye Farao akasikia juu ya jambo hilo, naye akajaribu kumuua Musa;+ lakini Musa akakimbia+ toka kwa Farao apate kuishi katika nchi ya Midiani;+ naye akaketi kando ya kisima. Hesabu 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Lipiza kisasi+ kwa ajili ya wana wa Israeli juu ya Wamidiani.+ Baadaye utakusanywa kwa watu wako.”+
15 Baadaye Farao akasikia juu ya jambo hilo, naye akajaribu kumuua Musa;+ lakini Musa akakimbia+ toka kwa Farao apate kuishi katika nchi ya Midiani;+ naye akaketi kando ya kisima.
2 “Lipiza kisasi+ kwa ajili ya wana wa Israeli juu ya Wamidiani.+ Baadaye utakusanywa kwa watu wako.”+