22 “Leteni na kutuambia mambo ambayo yatatendeka. Mambo ya kwanza—yalikuwa ni nini—semeni, ili tuyatie moyoni mwetu na kujua wakati wake ujao. Au, tufanyeni tuyasikie mambo yanayokuja.+
28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya: