Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 98:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+

      Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+

  • Isaya 41:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Leteni na kutuambia mambo ambayo yatatendeka. Mambo ya kwanza—yalikuwa ni nini—semeni, ili tuyatie moyoni mwetu na kujua wakati wake ujao. Au, tufanyeni tuyasikie mambo yanayokuja.+

  • Danieli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:

  • Amosi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki