Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, na uifungue hii midomo yangu,+

      Ili kinywa changu mwenyewe kipate kutangaza sifa yako.+

  • Zaburi 143:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+

      Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+

      Roho yako ni nzuri;+

      Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+

  • Isaya 50:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+

  • Marko 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+

  • Luka 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa maana roho takatifu+ itawafundisha ninyi saa ileile mambo mnayopaswa kusema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki