Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Nawe utafanya madhabahu iwe mahali pa kufukizia uvumba;+ utaifanya kwa mbao za mshita.

  • Kutoka 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba+ kutokana na mbao za mshita.+ Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.+

  • Kutoka 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utaiweka madhabahu ya dhahabu kwa ajili ya uvumba+ mbele ya sanduku la ushuhuda na kuweka kile kisitiri cha mwingilio wa maskani mahali pake.+

  • Zaburi 141:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+

      Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+

  • Ufunuo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwana-Kondoo, kila mmoja akiwa na kinubi+ na mabakuli ya dhahabu yaliyokuwa yamejaa uvumba,+ na huo uvumba unamaanisha sala+ za watakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki