8 Na Yehova akazidi kumwambia Haruni: “Mimi nami, tazama! nimekupa wewe utunzaji wa michango inayotolewa kwa ajili yangu.+ Vitu vyote vitakatifu vya wana wa Israeli nimekupa wewe na wana wako viwe fungu, viwe posho mpaka wakati usio na kipimo.+
19 Michango yote mitakatifu,+ ambayo wana wa Israeli watamchangia Yehova, nimekupa wewe na wana wako na binti zako pamoja nawe, iwe posho lenu mpaka wakati usio na kipimo.+ Ni agano la chumvi mpaka wakati usio na kipimo mbele za Yehova kwa ajili yako na kwa ajili ya uzao wako pamoja nawe.”+
5 Ni kweli, watu kutoka katika wana wa Lawi+ ambao hupokea cheo chao cha ukuhani wana amri ya kukusanya sehemu za kumi+ kutoka kwa watu+ kulingana na Sheria, yaani, kutoka kwa ndugu zao, hata kama hao wametoka katika viuno vya Abrahamu;+