Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani.

  • Kumbukumbu la Torati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako mwishowe atakuingiza katika nchi ambayo unaenda kuimiliki,+ pia ataondolea mbali mataifa yenye hesabu kubwa ya watu toka mbele yako,+ Wahiti+ na Wagirgashi+ na Waamori+ na Wakanaani+ na Waperizi+ na Wahivi+ na Wayebusi,+ mataifa saba yenye hesabu kubwa ya watu na yenye nguvu kuliko wewe.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na itatukia kwamba mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, nawe umeimiliki na kukaa ndani yake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki