20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+
22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+
5 Ila tu muwe waangalifu sana katika kutimiza amri+ na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru ninyi, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu+ na kwa kutembea katika njia zake zote+ na kwa kushika amri zake+ na kwa kushikamana naye+ na kwa kumtumikia+ kwa moyo wenu wote+ na kwa nafsi yenu yote.”+