Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 na Eloni na Timna+ na Ekroni,+

  • 1 Samweli 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi wakalipeleka sanduku la Mungu wa kweli mpaka Ekroni.+ Na ikawa kwamba mara tu sanduku la Mungu wa kweli lilipofika Ekroni, Waekroni wakaanza kulia, wakisema: “Wamelileta sanduku la Mungu wa Israeli kwangu kwa kuzunguka ili waniue mimi na watu wangu!”+

  • 1 Samweli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na yale majiji ambayo Wafilisti walikuwa wameyachukua kutoka kwa Israeli yakaendelea kurudi kwa Israeli kutoka Ekroni mpaka Gathi, na Israeli wakayakomboa maeneo ya majiji hayo kutoka mkono wa Wafilisti.

      Na kukawa na amani kati ya Israeli na Waamori.+

  • 2 Wafalme 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Ahazia akaanguka chini+ kupitia tundu lililo katika chumba chake cha darini+ kilichokuwa katika Samaria, naye akawa mgonjwa. Kwa hiyo akatuma wajumbe, akawaambia: “Nendeni, muulizeni+ Baal-zebubu+ mungu wa Ekroni+ ikiwa nitapona ugonjwa huu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki