Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”

  • Waamuzi 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha wakasimama, wakapanda kwenda Betheli, wakaulize kutoka kwa Mungu.+ Ndipo wana wa Israeli wakasema: “Ni nani kati yetu atakayeongoza pigano juu ya wana wa Benyamini?”+ Yehova akasema: “Yuda ataongoza.”+

  • Zaburi 85:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitasikia jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova atasema,+

      Kwa maana atasema amani kwa watu wake+ na kwa washikamanifu wake,

      Lakini wasirudi kujitumaini.+

  • Methali 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki