18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.
4 Basi wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni+ iliyokuwa mikononi mwao na vipuli vilivyokuwa masikioni mwao, naye Yakobo akavificha+ chini ya ule mti mkubwa uliokuwa karibu na Shekemu.
21 Basi wakawapa jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu,+ na kiwanja chake cha malisho+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ na kiwanja chake cha malisho,
24Na ndipo Yoshua akakusanya pamoja makabila yote ya Israeli katika Shekemu,+ akawaita wanaume wazee wote wa Israeli+ na vichwa vyao na waamuzi wao na maofisa wao, nao wakasimama mbele za Mungu wa kweli.+
9Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema: