Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na ikawa kwamba, alipomaliza kusema, bila kukawia akautupa ule mfupa kutoka mkononi mwake, akaita mahali hapo Ramath-lehi.+

  • Waamuzi 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Mungu akapasua shimo lenye umbo la kinu lililokuwa katika Lehi, na maji+ yakaanza kutoka ndani yake, naye akanywa, kisha roho+ yake ikarudi na nguvu zikamrudia.+ Ndiyo sababu aliliita kwa jina la En-hakore, nalo lipo katika Lehi mpaka leo hii.

  • 2 Samweli 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki