20 Ndipo Daudi akasimama kutoka chini, akaoga, akajipaka+ mafuta, akabadili nguo zake za kujitanda, naye akaja nyumbani+ kwa Yehova, akasujudu;+ kisha akaja nyumbani mwake na kutoa ombi, nao wakaweka mara moja mkate mbele yake, akaanza kula.
2 Kwa hiyo Yoabu akatuma ujumbe huko Tekoa,+ na kutoka huko akamchukua mwanamke mwenye hekima+ na kumwambia: “Tafadhali, omboleza, nawe tafadhali uvae mavazi ya maombolezo, na usijipake mafuta;+ nawe uwe kama mwanamke ambaye amekuwa akiomboleza siku nyingi kwa ajili ya mtu aliyekufa.+