Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na pia Ruthu Mmoabu, mke wa Maloni, ninamnunua awe mke wangu ili nimwinulie mwanamume aliyekufa+ jina katika urithi wake na kwamba jina la mwanamume aliyekufa lisipate kukatiliwa mbali kati ya ndugu zake na katika lango la mahali pake. Ninyi ni mashahidi+ leo.”

  • Ruthu 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha wanawake majirani+ wakampa jina, wakisema: “Naomi amepata mwana.” Nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ baba ya Daudi.

  • 1 Samweli 14:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+

  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki