Hesabu 33:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na itatukia kwamba kama vile nilivyokusudia kuwatendea hao, ndivyo nitakavyowatendea ninyi.’”+ Kumbukumbu la Torati 28:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+ Waamuzi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+ Waamuzi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.
48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+
7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+
13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.