4 Nitakumbuka mambo haya, nami nitaimimina nafsi yangu iliyo ndani yangu.+
Kwa maana nilikuwa nikipita pamoja na watu wengi,
Nilikuwa nikitembea polepole mbele yao kwenda kwenye nyumba ya Mungu,+
Kwa sauti ya vigelegele vya shangwe na shukrani,+
Ya umati unaofanya sherehe.+