Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nitakumbuka mambo haya, nami nitaimimina nafsi yangu iliyo ndani yangu.+

      Kwa maana nilikuwa nikipita pamoja na watu wengi,

      Nilikuwa nikitembea polepole mbele yao kwenda kwenye nyumba ya Mungu,+

      Kwa sauti ya vigelegele vya shangwe na shukrani,+

      Ya umati unaofanya sherehe.+

  • Zaburi 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+

      Ndiyo sababu ninakukumbuka,+

      Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+

      Kutoka katika ule mlima mdogo.+

  • Zaburi 62:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mtegemeeni nyakati zote.+

      Mimineni moyo wenu mbele zake.+

      Mungu ni kimbilio letu.+ Sela.

  • Zaburi 142:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mbele zake niliendelea kumwaga hangaiko langu;+

      Mbele zake niliendelea kutangaza juu ya taabu yangu mwenyewe,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki