Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+

  • 1 Samweli 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+

  • 1 Samweli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+

  • 1 Samweli 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Baadaye Samweli+ akafa; na Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka, akashuka kwenda katika nyika ya Parani.+

  • Matendo 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 yote haya wakati wa karibu miaka 450.

      “Na baada ya mambo hayo aliwapa waamuzi mpaka nabii Samweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki