Waamuzi 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+ 1 Samweli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+ 1 Samweli 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+ 1 Samweli 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baadaye Samweli+ akafa; na Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka, akashuka kwenda katika nyika ya Parani.+ Matendo 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 yote haya wakati wa karibu miaka 450. “Na baada ya mambo hayo aliwapa waamuzi mpaka nabii Samweli.+
16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+
20 Na Israeli wote kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ wakajua kwamba Samweli ndiye aliyewekwa kuwa nabii wa Yehova.+
11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+
25 Baadaye Samweli+ akafa; na Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka, akashuka kwenda katika nyika ya Parani.+
20 yote haya wakati wa karibu miaka 450. “Na baada ya mambo hayo aliwapa waamuzi mpaka nabii Samweli.+