Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara mtakapoingia jijini, mtamkuta moja kwa moja kabla hajapanda kwenda mahali pa juu ili ale chakula; kwa kuwa watu hawawezi kula mpaka aje, kwa maana yeye ndiye anayeibariki dhabihu.+ Baadaye wale walioalikwa hula. Basi sasa pandeni—sasa hivi mtampata.”

  • 1 Samweli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Samweli akamjibu Sauli na kusema: “Mimi ndiye mwonaji. Panda mbele yangu, uende mahali pa juu, nanyi mtakula pamoja nami leo,+ nami nitawaacha mwende zenu asubuhi, nami nitakuambia mambo yote yaliyo moyoni mwako.+

  • 1 Wafalme 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ila tu watu walikuwa wakitoa dhabihu katika mahali pa juu,+ kwa maana nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova mpaka siku hizo.+

  • 1 Wafalme 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Sulemani akaendelea kumpenda Yehova+ kwa kutembea katika sheria za Daudi baba yake.+ Ila tu alikuwa akitoa dhabihu kwa ukawaida na kufukiza matoleo katika mahali pa juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki