Kumbukumbu la Torati 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote. Kumbukumbu la Torati 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+ Zaburi 145:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova anawalinda wale wote wanaompenda,+Lakini atawaangamiza waovu wote.+ Mathayo 22:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Akamwambia: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.’+ 1 Wakorintho 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ikiwa yeyote anampenda Mungu,+ huyo anajulikana naye.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote.
12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+
37 Akamwambia: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.’+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+