Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hii ndiyo nchi ambayo bado imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti+ na Wageshuri+ wote

  • Waamuzi 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi haya ndiyo mataifa+ ambayo Yehova aliacha yabaki ili kupitia hayo ajaribu+ Israeli, yaani, wale wote ambao hawakuona vita vyovyote vya Kanaani;+

  • Waamuzi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+

  • 1 Samweli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+

  • 1 Samweli 14:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Na vita vikaendelea kuwa vikali juu ya Wafilisti siku zote za Sauli.+ Na kila mara Sauli alipomwona mwanamume yeyote mwenye nguvu au mwanamume yeyote shujaa, alimchukua ili awe pamoja naye.+

  • Amosi 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Je, ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu, enyi wana wa Israeli?’ asema Yehova. ‘Je, sikuleta Israeli kutoka nchi ya Misri,+ na Wafilisti+ kutoka Krete, na Siria kutoka Kiri?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki