3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+
16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+
52 Na vita vikaendelea kuwa vikali juu ya Wafilisti siku zote za Sauli.+ Na kila mara Sauli alipomwona mwanamume yeyote mwenye nguvu au mwanamume yeyote shujaa, alimchukua ili awe pamoja naye.+
7 “ ‘Je, ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu, enyi wana wa Israeli?’ asema Yehova. ‘Je, sikuleta Israeli kutoka nchi ya Misri,+ na Wafilisti+ kutoka Krete, na Siria kutoka Kiri?’+