Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Na jina la mke wa Sauli lilikuwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi, na jina la mkuu wa jeshi lake lilikuwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli.

  • 1 Samweli 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake kama katika zile nyakati nyingine, katika kiti kilicho kando ya ukuta; na Yonathani alikuwa anamwelekea, na Abneri+ alikuwa ameketi kando ya Sauli, lakini mahali pa Daudi palikuwa wazi.

  • 2 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+

  • 2 Samweli 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Abneri akamwambia tena Asaheli: “Geuza mwendo wako, acha kunifuatilia. Kwa nini nikupige ufe na kuanguka chini?+ Hapo, basi, ningewezaje kuinua uso wangu kumwelekea Yoabu ndugu yako?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki