2 Samweli 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ulikuja jana tu na je, leo nikufanye utange-tange+ pamoja nasi, uende wakati ninapoenda na popote ninapoenda? Rudi, na uwachukue ndugu zako urudi pamoja nao, na Yehova akuonyeshe fadhili zenye upendo+ na uaminifu!”+ Zaburi 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+ Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+
20 Ulikuja jana tu na je, leo nikufanye utange-tange+ pamoja nasi, uende wakati ninapoenda na popote ninapoenda? Rudi, na uwachukue ndugu zako urudi pamoja nao, na Yehova akuonyeshe fadhili zenye upendo+ na uaminifu!”+
11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+
3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+