-
Yoshua 10:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Na ikawa kwamba mara tu Adoni-sedeki mfalme wa Yerusalemu aliposikia kwamba Yoshua ameteka Ai+ na kuliharibu,+ kwamba jinsi alivyofanya Yeriko+ na mfalme wake,+ ndivyo alivyofanya Ai na mfalme wake,+ na kwamba wakaaji wa Gibeoni walikuwa wamefanya amani na Israeli+ na kuendelea kukaa katikati yao,
-