Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda?

  • 1 Wafalme 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mambo mengine yote ya Asa na uwezo wake wote na yote aliyoyafanya na majiji aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Ila tu kwamba wakati wa kuzeeka+ kwake miguu yake ikawa na ugonjwa.+

  • 2 Wafalme 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mambo mengine ya Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?

  • 2 Wafalme 15:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na yale mambo mengine ya Yothamu, aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki