1 Wafalme 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda? 1 Wafalme 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na mambo mengine yote ya Asa na uwezo wake wote na yote aliyoyafanya na majiji aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Ila tu kwamba wakati wa kuzeeka+ kwake miguu yake ikawa na ugonjwa.+ 2 Wafalme 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mambo mengine ya Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 2 Wafalme 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na yale mambo mengine ya Yothamu, aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?+
29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda?
23 Na mambo mengine yote ya Asa na uwezo wake wote na yote aliyoyafanya na majiji aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Ila tu kwamba wakati wa kuzeeka+ kwake miguu yake ikawa na ugonjwa.+
6 Na mambo mengine ya Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?
36 Na yale mambo mengine ya Yothamu, aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?+